WATALII WA NJE KUFIKIA MILIONI 8 IFIKAPO MWAKA 2030
Chini ya Rais Samia, idadi ya watalii wa nje imeongezeka kutoka 922,000 mwaka 2021 hadi watalii milioni 2.1 mwaka 2025, Hata hivyo matarajio yakionyesha watafikia milioni 8 ifikapo mwaka 2030,
Hii ni kwa kwamujibu wa Ilani ya CCM 2025-2030.
Ongezeko hili linaashiria ukuaji mkubwa wa sekta ya utalii na na hivyo kuendelea kuongeza mchango wake katika uchumi wa Taifa na ajira.

Comments
Post a Comment