BILIONI 57 KUTUMIKA KUJENGA KITUO CHA MAFUNZO YA ANGA NIT
- Get link
- X
- Other Apps
Serikali imewekeza jumla ya shilingi Bilioni 57 kwa ajili ya unjenzi wa kituo cha umahiri cha Mafunzo ya Anga katika chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT )kilichopo Mabibo jijini Dar e salaam.
Kwa upande wake Mkuu wa chuo hicho Mhandisi Prosper Mgaya amesema kuwa jumla ya wanafunzi 100 wameshaitimu katika chuo hicho katika fani ya Urubani, Wahudumu ndani ya ndege na Wahandisi wa Matengenezo ya Ndege.
‘’ Baada ya kuanzisha masomo haya vijana wengi wamejiunga na chuo chetu katika fani za Matengenezo ya Ndege,Wahudumu wa ndani ya Ndege na Urubani ‘’
Naye Mwenyekiti wa Bodi wa chuo hicho Prof. Ulingeta Bamba amasema kuwa elimu inayotolewa katika chuo hicho ni Elimu inayokubalika kimataifa hivyo amewakaribisha vijana kupata elimu katika chuo hicho
- Get link
- X
- Other Apps

.jpg)








Comments
Post a Comment