Skip to main content

KIKAO CHA KAMATI YA MAADILI CCM KILIVYOFANYIKA USIKU JIJINI DODOMA




Kikao cha Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea muda huu majira ya saa nane usiku chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia na kuchuja majina ya wagombea Jijini Dodoma tarehe 28 Julai, 2025.





Comments

Popular posts from this blog

SEKTA YA NISHATI IWE KICHOCHEO CHA KUIUNGANISHA AFRIKA KUJENGA UCHUMI